skip to main content
Kisumu

Kisumu

Kisumu

Waste

Taka

Housing

Makao

Transport

Usafiri

Kisumu ni jiji la bandari lililo kwenye mwambao wa ziwa Viktoria. Kati ya idadi ya watu 700,000, 60% wanaishi katika vitongoji duni

Kisumu

Kisumu inakabiliana na changamoto za kimazingira kama makazi duni, uchafuzi wa ziwa Viktoria, chanzo cha lishe na mapato.

Jiji pia linakabiliana na utata wa usimamizi wa taka. Ukataji wa miti kwenye milima yanayozingira jiji umeongeza hatari ya mafuriko. Yote haya yameanza kuathiri afya ya wanajiji.

Kisumu

Mradi wetu wa ushiriki wa umma unaanza na wenyeji wa vitongoji duni vya Kisumu, wanahabari na maafisa wa wa idara ya mazingira na mabadiliko ya tabia nchi katika serikali ya kaunti.

Vikundi hivi vinashirikiana ili kutafuta suluhu mwafaka na endelevu kwa shida tata ya usimamizi wa taka.

Tazama tunachofanya jijini Kisumu

Tunashukuru timu yetu jijini Kisumu

Watafiti

Dr Blessing Mberu
Dr Isabella Asamba
Sween Nyongesa
Hellen Gitau
Kanyiva Miundi
Dr Nici Zimmermann
Dr Adarsh Varma
Dr Giuseppe Salvia
Kaveh Dianati

Washiriki