skip to main content
Nairobi

Nairobi

Nairobi

Planning

Upangaji

Pollution

Uchafuzi

Jiji lililo vumbuliwa nyikani, na lililo mkabala na hifadhi la kimataifa la wanyama pori, Nairobi ni jiji linalokua kwa kasi zaidi barani Afrika, na idadi ya wakaazi wake unakadiriwa kufika milioni 6 ifikapo 2030.

Nairobi

Nairobi inabuni kuendeleza maeneo mawili: Woodley, eneo lililo lenye kipato cha kati na Kasarani, eneo lililo na wakaazi wengi.

Ikishirikiana na CUSSH, serikali ya kaunti inachukua fursa hii kupanga nafasi mpya jijini kwa kuchora ramani ya majumba na nafasi safi zinazoambatana kwa usawa na mazingira na afya ya wenyeji. 

Mifumo Tata ya Miji kwa Uendelevu na Afya

Watafiti

Professor Mike Davies
Dr Blessing Mberu
Dr Kanyiva Miundi
Ms.Hellen Gitau