Idadi ya wenyeji wa London inakadiriwa kufikia milioni 10 katika miaka 20 ijayo. Lengo lake ni kuwa jiji lililo bila kaboni, na kudumisha ubora wa mazingira kwa kuzingatia nafasi safi, na ubora wa hewa.
Mkakati wa kimazingira uliobuniwa na Meya wa London unalenga kuhakikisha zaidi ya nusu ya London i safi. Kwa hivyo tumeanza kwa kumakinika na majengo yanayozingatia usafi. Kazi yetu inahusisha utafiti wa jinsi